Usiingilie mambo ya mtu mwingine bila kibali kutoka kwa Mungu. Kuingilia mambo ya mtu mwingine bila kibali kutoka kwa Mungu ni dhambi. Dhambi hiyo itakuathiri. Hivyo, jali mambo yako — ya mwingine Mungu anayafanyia kazi — hadi utakapoitwa na Mungu kuingilia kati. Kuingilia kati mambo ya mtu mwingine kunaweza kuathiri mpango wa Mungu katika maisha yake. Hivyo, acha. Enock Maregesi
About This Quote

This time it is going to be different, because I am going to be a better man. Using this time I am going to be a better husband. I will start doing things differently. This time I am not going to be selfish and selfish.

It is very easy to be selfish than to be a good husband. If one is not good, they will never even get the chance to see what happiness is like.

Some Similar Quotes
  1. I'm selfish, impatient and a little insecure. I make mistakes, I am out of control and at times hard to handle. But if you can't handle me at my worst, then you sure as hell don't deserve me at my best. - Marilyn Monroe

  2. You've gotta dance like there's nobody watching, Love like you'll never be hurt, Sing like there's nobody listening, And live like it's heaven on earth. - William W. Purkey

  3. This life is what you make it. No matter what, you're going to mess up sometimes, it's a universal truth. But the good part is you get to decide how you're going to mess it up. Girls will be your friends - they'll act like... - Marilyn Monroe

  4. When someone loves you, the way they talk about you is different. You feel safe and comfortable. - Jess C. Scott

  5. Dumbledore watched her fly away, and as her silvery glow faded he turned back to Snape, and his eyes were full of tears." After all this time?"" Always, " said Snape. - J.k. Rowling

More Quotes By Enock Maregesi
  1. Imani ni nia ya kujua kisichoweza kujulikana na hupeleka watu kwenye ukweli. Kuamini hupotosha, na ni nia ya kudharau kinachoweza kujulikana.

  2. Ukitaka kujua maana halisi ya maisha yako kuwa tayari kufanya vitu vikubwa vitakavyohitaji nguvu ya Mungu kuvikamilisha — na kudumu katika maisha hayo kwa kafara ya maombi.

  3. Wanasayansi wanasema hakuna Mungu kwa sababu hawawezi kumwona wala kumgusa. Lakini nao hawana akili kwa sababu hawawezi kuiona wala kuigusa.

  4. Usiingilie mambo ya mtu mwingine bila kibali kutoka kwa Mungu. Kuingilia mambo ya mtu mwingine bila kibali kutoka kwa Mungu ni dhambi. Dhambi hiyo itakuathiri. Hivyo, jali mambo yako — ya mwingine Mungu anayafanyia kazi — hadi utakapoitwa na Mungu kuingilia kati. Kuingilia kati mambo...

  5. Wewe kuingilia mambo ya John ni sawa na kusema, ‘Mungu umeshindwa hebu ngoja na mimi nijaribu; ngoja niingilie kati kukusaidia juu ya maisha ya John Doe.’ Hiyo ni dhambi. Tena ni dhambi kubwa. Unajifananisha na Mungu; kwamba Mungu wa John Doe ameshindwa kwa hiyo mungu...

Related Topics